Zaburi 116:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kamba za kifo zilinizunguka;Kaburi lilinishika kwa nguvu.*+ Nililemewa na taabu na huzuni.+ 4 Lakini nikaliita jina la Yehova:+ “Ee, Yehova, niokoe!”*
3 Kamba za kifo zilinizunguka;Kaburi lilinishika kwa nguvu.*+ Nililemewa na taabu na huzuni.+ 4 Lakini nikaliita jina la Yehova:+ “Ee, Yehova, niokoe!”*