Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+

      Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+

      Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.

      14 Alipiga mishale yake akawatawanya;+

      Alivurumisha radi yake akawavuruga.+

      15 Sakafu za vijito zikaonekana;*+

      Misingi ya nchi ikafunuliwa kwa kemeo lako, Ee Yehova,

      Kwa mlipuko wa pumzi kutoka katika mianzi ya pua yako.+

      16 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;

      Alinishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+

  • Isaya 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiwe

      Naye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+

      Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+

      Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki