Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:16-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;

      Alinishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+

      17 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+

      Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.+

      18 Walinikabili katika siku ya msiba wangu,+

      Lakini Yehova alikuwa tegemeo langu.

      19 Alinitoa nje na kunileta mahali penye usalama;*

      Aliniokoa kwa sababu alipendezwa nami.+

  • Zaburi 124:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+

      Watu walipokuja kutushambulia,+

       3 Basi wangetumeza tukiwa hai+

      Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+

       4 Kisha maji yangetufagilia mbali,

      Mafuriko yangetufunika.+

  • Zaburi 144:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Inyooshe mikono yako kutoka juu;

      Niokoe na kuninusuru kutoka katika maji mengi,

      Kutoka katika mkono* wa wageni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki