Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:20-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+

      21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,

      Nami sijamwacha kwa uovu Mungu wangu.

      22 Hukumu zake zote ziko mbele yangu;

      Sitazipuuza sheria zake.

      23 Nitabaki bila lawama mbele zake,+

      Nami nitajiepusha na uovu.+

      24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi* wa mikono yangu mbele zake.+

  • Zaburi 24:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu?

       4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+

      Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*

      Wala kuapa kwa udanganyifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki