15 Na historia ya Rehoboamu, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, je, haijaandikwa katika maandishi ya nabii Shemaya+ na mwonaji Ido+ katika kumbukumbu za ukoo? Kulikuwa na vita daima kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.+
3 Basi Abiya akaenda vitani akiwa na jeshi lenye mashujaa hodari 400,000 waliozoezwa.*+ Na Yeroboamu akajipanga kivita ili kupigana naye akiwa na wanaume 800,000, mashujaa hodari waliozoezwa.*