1 Wafalme 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo. 1 Wafalme 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa katika mahema* pamoja na wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.
20 Basi Mfalme Ben-hadadi+ wa Siria+ akakusanya jeshi lake lote pamoja na wafalme wengine 32 wakiwa na farasi wao na magari yao ya vita; akapanda kwenda kuzingira+ jiji la Samaria+ na kupigana nalo.
16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa katika mahema* pamoja na wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.