2 Mambo ya Nyakati 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehoshafati alikuwa na utajiri na utukufu mwingi,+ lakini alifanya mapatano ya ndoa pamoja na Ahabu.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.
18 Yehoshafati alikuwa na utajiri na utukufu mwingi,+ lakini alifanya mapatano ya ndoa pamoja na Ahabu.+
2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.