-
Mathayo 14:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa isipokuwa mikate mitano na samaki wawili tu.”
-
-
Marko 8:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Lakini wanafunzi wake wakamjibu: “Tutapata wapi mikate ya kuwatosha watu hawa mahali hapa pasipo na watu?”
-