7 Kisha kuhani atachukua damu hiyo na kumnyunyizia mara saba mtu anayejitakasa ukoma wake na kumtangaza kuwa safi, halafu atamwachilia ndege aliye hai aende zake mashambani.+
4 Kisha kuhani Eleazari atachukua kwa kidole chake kiasi kidogo cha damu ya ng’ombe huyo na kuinyunyiza mara saba kuelekea upande wa mbele wa hema la mkutano.+