Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu anayesema uwongo,+

      Wala si binadamu anayebadili nia yake.*+

      Akisema jambo, je, hatalitenda?

      Akinena jambo, je, hatalitimiza?+

  • 2 Wafalme 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa Elisha akasema: “Sikiliza neno la Yehova. Yehova anasema hivi: ‘Kesho karibu wakati kama huu sea moja* ya unga laini itakuwa na thamani ya shekeli moja, na sea mbili za shayiri zitakuwa na thamani ya shekeli moja* katika lango la* Samaria.’”+

  • Isaya 55:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kama mvua na theluji inavyomwagika kutoka mbinguni

      Nayo hairudi huko mpaka iiloweshe dunia na kuifanya izae na kuchipuka,

      Na kumpa mbegu mpandaji na mkate yule anayekula,

      11 Hivyo ndivyo neno langu linalotoka katika kinywa changu litakavyokuwa.*+

      Halitarudi kwangu bila matokeo,+

      Bali hakika litatimiza jambo lolote linalonipendeza,*+

      Na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki