-
Kumbukumbu la Torati 28:63Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
63 “Na kama Yehova alivyopendezwa wakati mmoja kuwafanikisha na kuwafanya mwongezeke, ndivyo Yehova atakavyopendezwa kuwaharibu na kuwaangamiza; nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayokaribia kuimiliki.
-
-
Amosi 1:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Yehova anasema hivi:
-