6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+
10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza* motoni+ mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi,*+ mtu yeyote anayefanya uchawi,+ mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri,+ mlozi,+
19 Na sasa nikusanyie Waisraeli wote kwenye Mlima Karmeli,+ pamoja na manabii 450 wa Baali na manabii 400 wa mti mtakatifu,*+ wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”