13 Wote watakaoandikishwa watatoa nusu ya shekeli* kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ Gera 20* ni sawa na shekeli moja. Nusu shekeli ni mchango kwa Yehova.+
9 Halafu tangazo likatolewa katika nchi yote ya Yuda na Yerusalemu kwamba watu wamletee Yehova kodi takatifu+ ambayo Musa mtumishi wa Mungu wa kweli alikuwa amewaagiza Waisraeli nyikani.