Kutoka 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli wanitolee mchango; mnapaswa kuchukua mchango wangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea kuchanga.+ Kutoka 35:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma+ na kila mtu aliyechochewa na roho yake akaja na kumletea Yehova mchango ili utumiwe katika kazi ya hema la mkutano, yaani, katika utumishi wake wote, na kwa ajili ya mavazi matakatifu.
2 “Waambie Waisraeli wanitolee mchango; mnapaswa kuchukua mchango wangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea kuchanga.+
21 Basi kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma+ na kila mtu aliyechochewa na roho yake akaja na kumletea Yehova mchango ili utumiwe katika kazi ya hema la mkutano, yaani, katika utumishi wake wote, na kwa ajili ya mavazi matakatifu.