Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Katika mwaka wa saba, Yehoyada aliagiza wakuu wa mamia wa walinzi walioitwa Wakari na wa walinzi* wa jumba la mfalme+ waitwe, wakaja kwake katika nyumba ya Yehova. Akafanya mapatano* pamoja nao na kuwaapisha kuhusu mapatano hayo katika nyumba ya Yehova, kisha akawaonyesha mwana wa mfalme.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika mwaka wa saba, Yehoyada alitenda kwa ujasiri na kufanya mapatano* na wakuu wa mamia,+ yaani, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehoyada alizeeka na kufa baada ya kuishi maisha marefu na yenye kuridhisha; alikuwa na umri wa miaka 130 alipokufa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki