2 Mambo ya Nyakati 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha, kwa agizo la mfalme, sanduku+ lilitengenezwa na kuwekwa nje kwenye lango la nyumba ya Yehova.+ Marko 12:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kisha akaketi akitazama masanduku* ya hazina+ na kuanza kuangalia jinsi umati ulivyokuwa ukitumbukiza pesa katika masanduku hayo, na matajiri wengi walikuwa wakitumbukiza sarafu nyingi.+ Luka 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu alipotazama, aliwaona matajiri wakitumbukiza zawadi zao katika masanduku* ya hazina.+
8 Kisha, kwa agizo la mfalme, sanduku+ lilitengenezwa na kuwekwa nje kwenye lango la nyumba ya Yehova.+
41 Kisha akaketi akitazama masanduku* ya hazina+ na kuanza kuangalia jinsi umati ulivyokuwa ukitumbukiza pesa katika masanduku hayo, na matajiri wengi walikuwa wakitumbukiza sarafu nyingi.+