Mambo ya Walawi 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria kuhusu dhabihu ya dhambi ni sawa na sheria kuhusu dhabihu ya hatia; dhabihu hiyo ni ya kuhani aliyeitoa kufunika dhambi.+ Hesabu 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+
7 Sheria kuhusu dhabihu ya dhambi ni sawa na sheria kuhusu dhabihu ya hatia; dhabihu hiyo ni ya kuhani aliyeitoa kufunika dhambi.+
8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+