29 Hata hivyo, Yehu hakugeuka na kuacha dhambi ambazo Yeroboamu mwana wa Nebati alisababisha Waisraeli kutenda kuhusiana na wale ndama wa dhahabu waliokuwa Betheli na Dani.+
21 Aliwararua Waisraeli kutoka katika nyumba ya Daudi, nao wakamweka Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme.+ Lakini Yeroboamu akasababisha Waisraeli wapotoke na kuacha kumfuata Yehova, naye akasababisha watende dhambi kubwa.