Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ Zaburi 105:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anakumbuka agano lake milele,+Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+ Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+
8 Anakumbuka agano lake milele,+Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+ Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+
20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+