15 Katika mwaka wa 27 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu wa Israeli, Azaria+ mwana wa Mfalme Amazia+ wa Yuda akawa mfalme.+ 2 Alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 52 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.