4 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama Amazia baba yake alivyotenda.+ 5 Naye aliendelea kumtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemfundisha kumwogopa Mungu wa kweli. Wakati alipokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+