4 Kisha Yehova akamwambia Hosea: “Mpe mwana huyo jina Yezreeli,* kwa sababu baada ya muda mfupi tu nitaifanya nyumba ya Yehu+ iwajibike kwa sababu ya matendo ya umwagaji wa damu ya Yezreeli, nami nitaukomesha utawala wa wafalme wa Israeli.+
9 Sehemu za juu za Isaka+ zitaachwa ukiwa, na mahali patakatifu pa Waisraeli pataharibiwa kabisa;+ nami nitaishambulia nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”+