6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliwaua watu 120,000 huko Yuda katika siku moja, wote walikuwa wanaume jasiri, kwa sababu Waisraeli walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao.+
7Sasa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walipanda ili kuja kupigana vita dhidi ya Yerusalemu, lakini alishindwa* kuliteka.+
4 Umwambie, ‘Jitahidi kuwa mtulivu. Usiogope, na usivunjike moyo kwa sababu ya haya magogo mawili yanayotoa moshi, kwa sababu ya hasira kali ya Resini na Siria na mwana wa Remalia.+