38 Alitengeneza mabeseni kumi ya shaba;+ kila beseni lingeweza kujaa kiasi cha bathi 40 za maji. Kila beseni lilikuwa na upana wa mikono 4.* Kulikuwa na beseni moja kwa ajili ya kila mojawapo ya magari hayo kumi.
6 Pia, alitengeneza mabeseni kumi ya kuoshea, akaweka matano upande wa kulia na matano upande wa kushoto.+ Waliyatumia kuoshea vitu vilivyotumiwa kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+ Lakini Bahari ilitumiwa na makuhani kuogea.+