Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, yaani, mwaka wa saba wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Mfalme Shalmanesa wa Ashuru alikuja kushambulia Samaria, akaanza kulizingira.+

  • Isaya 10:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Aha! Mwashuru,+

      Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+

      Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!

       6 Nitamtuma yeye dhidi ya taifa lililoasi imani,+

      Dhidi ya watu walionikasirisha,

      Nitamwamuru achukue nyara nyingi na kupora mali nyingi

      Na kuzikanyaga kama matope barabarani.+

  • Hosea 10:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Fujo itatokea dhidi ya watu wenu,

      Na majiji yenu yenye ngome yataharibiwa yote,+

      Kama Shalmani alivyoharibu kabisa nyumba ya Arbeli,

      Katika siku ya vita, akina mama walipondwapondwa pamoja na watoto wao.

      15 Hivyo ndivyo mtakavyotendewa, enyi wakaaji wa Betheli,+ kwa sababu ya uovu wenu uliozidi.

      Kwa hakika mfalme wa Israeli ataangamizwa* wakati wa mapambazuko.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki