-
Hosea 10:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Fujo itatokea dhidi ya watu wenu,
Na majiji yenu yenye ngome yataharibiwa yote,+
Kama Shalmani alivyoharibu kabisa nyumba ya Arbeli,
Katika siku ya vita, akina mama walipondwapondwa pamoja na watoto wao.
15 Hivyo ndivyo mtakavyotendewa, enyi wakaaji wa Betheli,+ kwa sababu ya uovu wenu uliozidi.
Kwa hakika mfalme wa Israeli ataangamizwa* wakati wa mapambazuko.”+
-