Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Waliiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao na kuanza kuabudu miti mitakatifu* na sanamu, hivi kwamba hasira ya Mungu ikaja* dhidi ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hatia yao. 19 Aliendelea kuwatuma manabii miongoni mwao ili wawarudishe kwa Yehova, nao waliendelea kuwaonya* lakini walikataa kusikiliza.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wa mababu zao aliendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, aliwaonya tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

  • Yeremia 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova aliwatuma kwenu watumishi wake wote manabii, aliwatuma tena na tena,* lakini hamkusikiliza, wala kutega sikio lenu ili msikie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki