Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Anapaswa kuwaambia hivi: ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, hivi punde mtapigana na maadui wenu. Msife moyo. Msiogope wala msihofu wala kutetemeka kwa sababu yao,

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+

      Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+

      Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+

      Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’

  • Isaya 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu,

      Watu walio na sheria* yangu moyoni mwao.+

      Msiogope dhihaka za wanadamu wanaoweza kufa,

      Na msiogopeshwe na matusi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki