33 “‘Kwa hiyo Yehova anasema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru:+
“Hataingia katika jiji hili+
Wala hatapiga mshale humo
Wala kulikabili kwa ngao
Wala kujenga boma la kulizingira.”’+
34 ‘Atarudi kupitia njia aliyotumia kuja;
Hataingia katika jiji hili,’ asema Yehova.
35 ‘Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu+ mwenyewe
Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+