Yoshua 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na katika eneo la kabila la Benjamini: Gibeoni+ na malisho yake, Geba na malisho yake,+ Yoshua 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wazao wa Haruni, makuhani, walipewa jumla ya majiji 13 na malisho yake.+ 1 Wafalme 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Mfalme Asa akawaita watu wote wa Yuda—hakuna aliyeachwa—nao wakabeba mawe na mbao zilizokuwa zikitumiwa na Baasha kujenga Rama, Mfalme Asa akazitumia kujenga* Geba+ kule Benjamini, na pia Mispa.+
22 Kisha Mfalme Asa akawaita watu wote wa Yuda—hakuna aliyeachwa—nao wakabeba mawe na mbao zilizokuwa zikitumiwa na Baasha kujenga Rama, Mfalme Asa akazitumia kujenga* Geba+ kule Benjamini, na pia Mispa.+