30 Basi akailaza maiti hiyo katika kaburi lake mwenyewe, nao wakaendelea kumlilia kwa sauti wakisema: “Ole wako, ndugu yangu!” 31 Baada ya kumzika, akawaambia wanawe: “Nitakapokufa, nizikeni mahali ambapo mtu wa Mungu wa kweli amezikwa. Ilazeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.+