32 Neno la Yehova alilokuwa ametangaza dhidi ya madhabahu iliyoko Betheli na dhidi ya nyumba zote za ibada zilizo mahali pa juu+ katika majiji ya Samaria hakika litatimia.”+
9 Waisraeli walikuwa wakifuatia mambo ambayo hayakuwa sawa machoni pa Yehova Mungu wao. Wakaendelea kujenga mahali pa juu katika majiji yao yote,+ kuanzia mnara wa walinzi mpaka jiji lenye ngome.*