-
2 Mambo ya Nyakati 35:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Pasaka kama hiyo haikuwa imewahi kuadhimishwa Israeli tangu siku za nabii Samweli; wala wafalme wengine wa Israeli hawakuwa wameadhimisha Pasaka kama hiyo iliyoadhimishwa na Yosia,+ makuhani, Walawi, watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wa Yerusalemu. 19 Pasaka hii ilifanywa katika mwaka wa 18 wa utawala wa Yosia.
-