Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.* 12 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Tazama, ninaleta msiba mkubwa sana Yerusalemu+ na Yuda hivi kwamba masikio yote mawili ya yeyote atakayesikia habari zake yatawasha.+

  • 2 Wafalme 24:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hakika watu wa Yuda walipatwa na mambo hayo kwa agizo la Yehova, ili kuwaondoa mbele za macho yake+ kwa sababu ya dhambi zote ambazo Manase alitenda,+ 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia aliyomwaga,+ kwa maana alijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia na Yehova hakutaka kumsamehe.+

  • Yeremia 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitawafanya wawe kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya mambo aliyofanya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki