Kumbukumbu la Torati 29:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo, Yehova akawang’oa kutoka katika ardhi yao kwa hasira yake+ na ghadhabu kali na hamaki na kuwapeleka katika nchi nyingine, mahali walipo mpaka leo.’+ 2 Wafalme 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka uhamishoni watu wote waliobaki jijini, watu waliojisalimisha kwa mfalme wa Babiloni, na watu wengine.+ Ezekieli 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Utalemewa na* ulevi na huzuni, Kikombe cha hofu na ukiwa, Kikombe cha dada yako, Samaria.
28 Kwa hiyo, Yehova akawang’oa kutoka katika ardhi yao kwa hasira yake+ na ghadhabu kali na hamaki na kuwapeleka katika nchi nyingine, mahali walipo mpaka leo.’+
11 Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka uhamishoni watu wote waliobaki jijini, watu waliojisalimisha kwa mfalme wa Babiloni, na watu wengine.+