2 Mambo ya Nyakati 36:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha watu nchini wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumweka kuwa mfalme huko Yerusalemu baada ya baba yake.+ 2 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu.
36 Kisha watu nchini wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumweka kuwa mfalme huko Yerusalemu baada ya baba yake.+ 2 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu.