Hesabu 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wana wa Manase+ walikuwa: kutoka kwa Makiri,+ ukoo wa Wamakiri; naye Makiri alikuwa baba ya Gileadi;+ kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi. Yoshua 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.
29 Wana wa Manase+ walikuwa: kutoka kwa Makiri,+ ukoo wa Wamakiri; naye Makiri alikuwa baba ya Gileadi;+ kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.