Yoshua 15:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Kalebu akasema: “Yeyote atakayeshambulia na kuteka jiji la Kiriath-seferi, nitampa binti yangu Aksa awe mke wake.” 17 Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu ya Kalebu, akaliteka. Kwa hiyo akampa Aksa+ binti yake awe mke wake.
16 Ndipo Kalebu akasema: “Yeyote atakayeshambulia na kuteka jiji la Kiriath-seferi, nitampa binti yangu Aksa awe mke wake.” 17 Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu ya Kalebu, akaliteka. Kwa hiyo akampa Aksa+ binti yake awe mke wake.