Mwanzo 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akiwa huko, Yuda akamwona binti ya Mkanaani fulani+ aliyeitwa Shua. Basi akamwoa na kulala naye, Mwanzo 38:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa mara nyingine tena akazaa mwana na kumpa jina Shela. Shela alipozaliwa, Yuda alikuwa Akzibu.+ Hesabu 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na wana wa Yuda kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ ukoo wa Washela; kutoka kwa Perezi,+ ukoo wa Waperezi; kutoka kwa Zera,+ ukoo wa Wazera.
20 Na wana wa Yuda kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ ukoo wa Washela; kutoka kwa Perezi,+ ukoo wa Waperezi; kutoka kwa Zera,+ ukoo wa Wazera.