Kutoka 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika jambo hili katika kitabu liwe ukumbusho,* na uliseme tena kwa Yoshua: ‘Nitawaangamiza kabisa Waamaleki kutoka chini ya mbingu, nao hawatakumbukwa tena.’”+ Kutoka 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na kusema: “Kwa sababu mkono wa Waamaleki unapinga kiti cha ufalme cha Yah,+ Yehova atapigana vita na Waamaleki kizazi baada ya kizazi.”+ 1 Samweli 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Sauli akawaangamiza Waamaleki+ kuanzia Havila+ mpaka Shuri,+ jiji lililo karibu na Misri.
14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika jambo hili katika kitabu liwe ukumbusho,* na uliseme tena kwa Yoshua: ‘Nitawaangamiza kabisa Waamaleki kutoka chini ya mbingu, nao hawatakumbukwa tena.’”+
16 na kusema: “Kwa sababu mkono wa Waamaleki unapinga kiti cha ufalme cha Yah,+ Yehova atapigana vita na Waamaleki kizazi baada ya kizazi.”+