Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo tulichukua nchi ya wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kuanzia Bonde* la Arnoni mpaka Mlima Hermoni+

  • Kumbukumbu la Torati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 majiji yote yaliyokuwa katika nchi tambarare, nchi yote ya Gileadi, nchi yote ya Bashani mpaka Saleka na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu kule Bashani.

  • Yoshua 12:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pia, eneo la Mfalme Ogu+ wa Bashani, aliyekuwa kati ya Warefaimu+ waliosalia, ambaye aliishi Ashtarothi na Edrei 5 na kutawala katika eneo la Mlima Hermoni, Saleka, na Bashani yote,+ hadi mpaka wa Wageshuri na Wamaakathi,+ na nusu ya Gileadi, hadi katika eneo la Mfalme Sihoni wa Heshboni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki