16Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+
10 Kisha dunia ikafunguka* na kuwameza. Lakini Kora alikufa pamoja na watu waliomuunga mkono moto ulipowateketeza watu 250.+ Wakawa onyo kwa wengine.+11 Hata hivyo, wana wa Kora hawakufa.+
11 Ole wao, kwa sababu wamefuata mwenendo wa Kaini,+ wamejiingiza katika kosa la Balaamu+ ili kupata faida, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+