Mwanzo 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini wazao wako watarudi hapa+ katika kizazi cha nne, kwa sababu uovu wa Waamori bado haujafikia kipimo chake kamili.”+ Hesabu 13:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waamaleki+ wanaishi katika nchi ya Negebu,+ nao Wahiti, Wayebusi,+ na Waamori+ wanaishi katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanaishi karibu na bahari+ na kwenye kingo za Yordani.” Kumbukumbu la Torati 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wakati huo tulichukua nchi ya wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kuanzia Bonde* la Arnoni mpaka Mlima Hermoni+
16 Lakini wazao wako watarudi hapa+ katika kizazi cha nne, kwa sababu uovu wa Waamori bado haujafikia kipimo chake kamili.”+
29 Waamaleki+ wanaishi katika nchi ya Negebu,+ nao Wahiti, Wayebusi,+ na Waamori+ wanaishi katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanaishi karibu na bahari+ na kwenye kingo za Yordani.”
8 “Wakati huo tulichukua nchi ya wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kuanzia Bonde* la Arnoni mpaka Mlima Hermoni+