Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Haruni anapaswa kutoa dhabihu ya kufunika dhambi juu ya pembe za madhabahu hiyo mara moja kwa mwaka.+ Akitumia kiasi fulani cha damu ya dhabihu ya dhambi inayotolewa ili kufunika dhambi,+ ataitakasa mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu vyote. Ni madhabahu takatifu zaidi kwa Yehova.”

  • Mambo ya Walawi 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Atamfanya ng’ombe dume huyo kama alivyomfanya yule ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi. Hivyo ndivyo atakavyomfanya, kuhani atatoa dhabihu ya kufunika dhambi zao,+ nao watasamehewa.

  • Mambo ya Walawi 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana uhai wa kiumbe umo* katika damu,+ nami nimeitoa kwenye madhabahu+ ili mwitumie kufunika dhambi zenu, kwa maana damu ndiyo inayofunika dhambi+ kupitia uhai ulio ndani yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Makuhani wakawachinja na kutoa dhabihu ya dhambi kwenye madhabahu wakitumia damu yao, ili kufunika dhambi za Waisraeli wote, kwa sababu mfalme alisema kwamba dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu ya dhambi ilipaswa kutolewa kwa ajili ya Waisraeli wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki