Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao wakawapa wana wa kuhani Haruni jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Hebroni,+ na malisho yake, pia Libna+ na malisho yake, 14 Yatiri+ na malisho yake, Eshtemoa+ na malisho yake, 15 Holoni+ na malisho yake, Debiri+ na malisho yake, 16 Aini+ na malisho yake, Yuta+ na malisho yake, na Beth-shemeshi na malisho yake—majiji tisa katika maeneo ya makabila hayo mawili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki