50 Kabla ya mwaka wa kwanza wa njaa kali, Asenathi, binti ya Potifera kuhani wa Oni alimzalia Yosefu wana wawili.+ 51 Yosefu alimwita mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa maana alisema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”