-
1 Mambo ya Nyakati 9:35-38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
35 Yeieli, baba ya Gibeoni, aliishi Gibeoni.+ Mke wake aliitwa Maaka. 36 Na mwana wake mzaliwa wa kwanza aliitwa Abdoni, kisha Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 37 Gedori, Ahio, Zekaria, na Miklothi. 38 Miklothi alimzaa Shimeamu. Na wote waliishi karibu na ndugu zao kule Yerusalemu, pamoja na ndugu zao wengine.
-