Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:39-44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Neri+ akamzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali. 40 Na mwana wa Yonathani aliitwa Merib-baali.+ Merib-baali akamzaa Mika.+ 41 Na wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tahrea, na Ahazi. 42 Ahazi akamzaa Yara; Yara akamzaa Alemethi, Azmavethi, na Zimri. Zimri akamzaa Mosa. 43 Mosa akamzaa Binea na Refaya mwanawe, Refaya akamzaa Eleasa, Eleasa akamzaa Aseli. 44 Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia, na Hanani. Hao ndio waliokuwa wana wa Aseli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki