Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakaaji wa Gibeoni+ walisikia pia mambo ambayo Yoshua alitenda katika jiji la Yeriko+ na Ai.+

  • Yoshua 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini tangu siku hiyo, Yoshua akawafanya kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova mahali ambapo Mungu angechagua.+

  • Ezra 2:43-54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Watumishi wa hekaluni:*+ wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi, 44 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni, 45 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Akubu, 46 wana wa Hagabu, wana wa Salmai, wana wa Hanani, 47 wana wa Gideli, wana wa Gahari, wana wa Reaya, 48 wana wa Resini, wana wa Nekoda, wana wa Gazamu, 49 wana wa Uza, wana wa Pasea, wana wa Besai, 50 wana wa Asna, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu, 51 wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri, 52 wana wa Basluthi, wana wa Mehida, wana wa Harsha, 53 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema, 54 wana wa Nezia, wana wa Hatifa.

  • Ezra 2:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Na makuhani, Walawi, baadhi ya watu, waimbaji, walinzi wa malango, na watumishi wa hekaluni,* wakaanza kuishi katika majiji yao. Na Waisraeli wengine wote* wakaanza kuishi katika majiji yao.+

  • Ezra 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kulikuwa na watumishi wa hekaluni* 220, ambao Daudi na wakuu walikuwa wamewatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, wote walikuwa wametajwa kwa majina.

  • Nehemia 7:73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 73 Na makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji,+ baadhi ya watu, watumishi wa hekaluni,* na Waisraeli wengine wote wakaanza kuishi katika majiji yao.+ Kufikia mwezi wa saba,+ Waisraeli wote* walikuwa wakiishi katika majiji yao.+

  • Nehemia 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki