-
Nehemia 11:10-14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Kutoka kwa makuhani: Yedaya mwana wa Yoyaribu, Yakini,+ 11 Seraya mwana wa Hilkia mwana wa Meshulamu mwana wa Sadoki mwana wa Merayothi mwana wa Ahitubu,+ kiongozi wa nyumba ya* Mungu wa kweli; 12 na ndugu zao waliofanya kazi ya ile nyumba, watu 822; na Adaya mwana wa Yerohamu mwana wa Pelalia mwana wa Amzi mwana wa Zekaria mwana wa Pashuri+ mwana wa Malkiya, 13 na ndugu zake, viongozi wa koo,* watu 242, na Amashisai mwana wa Azareli mwana wa Azai mwana wa Meshilemothi mwana wa Imeri, 14 na ndugu zao 128 waliokuwa wanaume hodari na jasiri; na msimamizi wao alikuwa Zabdieli, aliyetoka katika familia mashuhuri.
-