Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa kuhani Haruni amezuia ghadhabu yangu dhidi ya Waisraeli kwa sababu hakuvumilia ushindani wowote dhidi yangu miongoni mwao.+ Kwa hiyo sijawaangamiza Waisraeli licha ya kwamba ninasisitiza watu waniabudu mimi peke yangu.+

  • Hesabu 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nalo litakuwa agano la ukuhani wa kudumu kwa ajili yake na wazao wake,+ kwa maana hakuvumilia ushindani wowote kumwelekea Mungu wake,+ naye alifanya dhambi ya Waisraeli ifunikwe.’”

  • Yoshua 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi kuhani Finehasi, wakuu wa Waisraeli, na viongozi wa maelfu* katika Israeli waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno yaliyosemwa na wazao wa Rubeni, Gadi, na Manase, wakaridhika.+

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa akihudumu* mbele ya sanduku hilo siku hizo. Wakamuuliza, “Je, twende tena kupigana na ndugu zetu Wabenjamini, au tusiende?”+ Yehova akawajibu hivi: “Nendeni, kwa sababu kesho nitawatia mikononi mwenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki